Hehehehe

Naih on the beat

Call me pahture aaanh ah

Pahture aaanh

Ukweli mwanzo walinicheka

I swear dear ilivyo tokea we kusepa

Now movie imeanza upya bado tu nadeka

Shuu lime washuka shuu nawacheka

Utamu wangu huwezi nitenda

Na tena wachambe wanao tusimanga

Kila wakijaribu pakazia mate

Waonyeshe movie lenyewe sio trailer

Penzi letu lime jaa more

Kwa godown ngumu kosa Salio

Mapema nikupeleke kwa mother

So ujiwahi mamy yooh

Nilizoea hadi siku kuu

Ndo ninywe soda umebadilisha hiyo

Nilipo dondoka umekuja

Niokota unanipa bila kikomo

Ila nimejua huwezi nitenda now

Huwezi nitenda aaah yeah

Huwezi nitenda my dear

Huwezi nitenda my dear

Coz me una nipenda now

Unanipenda wewe

Huwezi nitenda my dear

Huwezi nitenda my dear (ooh dear)

That day ulinifanyia faida

Yangu siwezi elezea big matter

Usiende mbali you go be my wife mwaka

Huu nakufungia ndani mamy loo

Nikuite nani mama sita

Au jolie sa uzuri wa senorita

Ume jazwa udongo

Yani mpaka unamwagika

Nyama nyama nyingi kutembea

Unaona shida (shida ah ouh uh)

Penzi letu lime jaa more

Kwa godown ngumu kosa Salio

Mapema nikupeleke kwa mother

So ujiwahi mamy yooh

Nilizoea hadi siku kuu

Ndo ninywe soda umebadilisha hiyo

Nilipo dondoka umekuja

Niokota unanipa bila kikomo

Ila nimejua huwezi nitenda now

Huwezi nitenda aaah yeah

Huwezi nitenda my dear

Huwezi nitenda my dear

Coz me una nipenda now

Unanipenda wewe

Huwezi nitenda my dear

Huwezi nitenda my dear (ooh dear)

Wago ooh

Samyleshma ooh oh

Hophama

Hophama music